forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
742 B
Markdown
24 lines
742 B
Markdown
|
# ambacho kilikuwa kimesemwa kwao na wachungaji
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza ikasemwa kwenye mtindo wa kutendea. NI: ""kile ambacho malaika waliwaambia wao wachungaji."
|
||
|
|
||
|
# mtoto huyu
|
||
|
|
||
|
"mtoto"
|
||
|
|
||
|
# kile ambacho kilizungumza kwao na wachungaji
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika mtindo wa kutendea. NI: "ambacho wachungaji waliwaambia."
|
||
|
|
||
|
# kuyatunza moyoni mwake
|
||
|
|
||
|
hazina ni kitu fulani ambacho ni cha thamani sana na kizuri. Mariamu alifikiri mambo aliyoambiwa kuhusu mtoto wake kuwa ni mazuri sana. NI: "kuyakumbuka kwa makini" au "kuyakumbuka kwa furaha."
|
||
|
|
||
|
# walirudi
|
||
|
|
||
|
"wakarudi mashambani kwenye kondoo"
|
||
|
|
||
|
# kumtukuza na kumsifu Mungu
|
||
|
|
||
|
haya yanafanana na yanasisitiza jinsi walivyochangamka kuhusu kile ambacho Mungu kafanya. NI: "sema juu ya kusifu ukuu wa Mungu."
|