forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1.0 KiB
Markdown
28 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
UDB inaweka sawa hii mistari miwili kuwa daraja ambalo litatengeneza urahisi wa kufupisha sentensi.
|
||
|
|
||
|
# pia Yusufu
|
||
|
|
||
|
Hii inamtambulisha Yusufu kama mhusika mpya katika simulizi.
|
||
|
|
||
|
# kwenye mji wa Daudi
|
||
|
|
||
|
Taarifa hizi zilizotangulia kuhusu umhimu wa wa Bethlehemu. Ingawa ulikuwa mji mdogo, Mfalme Daudi alizaliwa pale, na ulikuwapo unabii kwamba masihi atazaliwa pale. NI: ambao ulikuwa unaitwa mji wa Daudi"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu alikuwa wa nyumba na familia ya Daudi
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu Yusufu alikuwa wa uzao wa Daudi"
|
||
|
|
||
|
# Kuandikisha
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kutaarifu kwa afisa kule hivyo wamhusishe naye kwenye wajibu. Tumia kauli kwaajili ya afisa mwandikishaji wa serikali ikiwezekana.
|
||
|
|
||
|
# pamoja na Mariamu
|
||
|
|
||
|
Mariamu alisafiri pamoja na Yusufu kutoka Nazarethi. Ni wazi kwamba wanawake pia walihitajika, hivyo Mariamu angelihitaji kusafiri na kuandikishwa vile vile.
|
||
|
|
||
|
# ambaye alikuwa kaposwa naye
|
||
|
|
||
|
"mchumba wake" au "aliyekuwa ameahidi kwake." Wachumba walihesabiwa kisheria wameoana, lakini pale isingelikuwa kukaribiana kimwili kati yao.
|