forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
654 B
Markdown
28 lines
654 B
Markdown
|
# Wao
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa watu ambao walikuwa pale kwaajili ya sherehe ya kutahiriwa.
|
||
|
|
||
|
# alifanya ishara
|
||
|
|
||
|
"alitaja." Pengine Zakaria alikuwa hawezi kusikia, vilevile kuzungumza, au watu walikisia kwamba hangeliweza kusikia.
|
||
|
|
||
|
# kwa baba yake
|
||
|
|
||
|
"kwa baba wa mtoto"
|
||
|
|
||
|
# jinsi alivyotaka awe anaitwa
|
||
|
|
||
|
"jina ambalo Zakaria alitaka kumpa mtoto"
|
||
|
|
||
|
# Baba yake aliomba ubao wa kuandikia
|
||
|
|
||
|
Inaweza ikasaidia kusema jinsi Zakaria "alivyoomba," Sababu hakuweza kuzungumza. NI: "Baba yake alitumia mikono kuwaonesha watu kwamba alihitaji wampe ubao wa kuandikia"
|
||
|
|
||
|
# ubao wa kuandikia
|
||
|
|
||
|
"kitu fulani unachoweza kuandika"
|
||
|
|
||
|
# alistaajabishwa
|
||
|
|
||
|
"shangaa sana" au "stajaabishwa"
|