forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
751 B
Markdown
28 lines
751 B
Markdown
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
UDB inarekebisha mistari hii kuwa daraja ili kutunza kwa pamoja taarifa zinazohusu Israeli.
|
||
|
|
||
|
# ametoa msaada kwa
|
||
|
|
||
|
"Bwana amesaidia"
|
||
|
|
||
|
# Israeli mtumishi wangu
|
||
|
|
||
|
Kama wasomaji watachanganya hiki na mtu anayeitwa Israeli, itatafsiriwa kama "mtumishi wake, taifa la Israeli" au "Israeli, mtumishi wake."
|
||
|
|
||
|
# Hivyo kama vile
|
||
|
|
||
|
"ili kwamba"
|
||
|
|
||
|
# kukumbuka
|
||
|
|
||
|
Mungu hawezi kusahau. Ambapo Mungu "hukumbuka," hii nahau inayomaanisha Mungu anatenda kutokana na ahadi yake aliyotoa mapema.
|
||
|
|
||
|
# kama alivyosema kwa baba zetu
|
||
|
|
||
|
"hakika kama alivyoahidi kwa wahenga wetu angelifanya." "Kauli hii inaleta taarifa ya nyuma ahadi ya Mungu kwa Abrahamu." NI: "kwa sababu aliahidi kwa wahenga wetu angelikuwa na rehema."
|
||
|
|
||
|
# uzao wake
|
||
|
|
||
|
"wazawa wa Abrahamu"
|