forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
629 B
Markdown
28 lines
629 B
Markdown
|
# Taarifa kwa Ujumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula
|
||
|
|
||
|
# Kila myama...ni najisi kwenu
|
||
|
|
||
|
Hawa wanyama ambao Mungu amewataja kutofaa kwa kuliwa na watu wamezungumziwa kana kwamba walikuwa wachafu kimaumbile.
|
||
|
|
||
|
# kwato zilizogawanyika
|
||
|
|
||
|
Tazama amelezo ya sura ya 11:3.
|
||
|
|
||
|
# Cheuwa
|
||
|
|
||
|
Tazama maelezo ya sura ya 11:3
|
||
|
|
||
|
# Kiala awagusaye atakuwa najisi
|
||
|
|
||
|
Mtu ambaye hakubaliki kwa makusudi ya Mungu kwa sababu ya amegusa mmojawapo wa wanyama hawa anazungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile.
|
||
|
|
||
|
# vitanga
|
||
|
|
||
|
Miuguu ya mnyama yenye makucha
|
||
|
|
||
|
# hata jioni
|
||
|
|
||
|
"hata macheo"
|