forked from WA-Catalog/sw_tn
629 B
629 B
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula
Kila myama...ni najisi kwenu
Hawa wanyama ambao Mungu amewataja kutofaa kwa kuliwa na watu wamezungumziwa kana kwamba walikuwa wachafu kimaumbile.
kwato zilizogawanyika
Tazama amelezo ya sura ya 11:3.
Cheuwa
Tazama maelezo ya sura ya 11:3
Kiala awagusaye atakuwa najisi
Mtu ambaye hakubaliki kwa makusudi ya Mungu kwa sababu ya amegusa mmojawapo wa wanyama hawa anazungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile.
vitanga
Miuguu ya mnyama yenye makucha
hata jioni
"hata macheo"