forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
325 B
Markdown
16 lines
325 B
Markdown
|
# tabia zenu ziwe huru lakini sio katika kupenda fedha
|
||
|
|
||
|
"Msipende pesa"
|
||
|
|
||
|
# Mtosheke
|
||
|
|
||
|
"Toshekeni"
|
||
|
|
||
|
# Bwana ni msaidizi wangu...kunifanya mimi
|
||
|
|
||
|
Hii nukuu inatoka katika Zaburi ndani ya Agano la Kale.
|
||
|
|
||
|
# Sitaogopa. Mwanadamu atanifanya nini?
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anatumia swali kusisitiza kwamba haogopi watu kwa sababu Mungu anamsaidia.
|