forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1002 B
Markdown
40 lines
1002 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Abeli alikuwa mwana wa mwanamme na mwanamke wa kwanza, Adamu na Eva. Pia Kaini mwana wao alimuua Habili.
|
||
|
|
||
|
# Mlima Sayuni
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anaongea Mlima Sayuni, hekalu la mlima Yerusalem kana kwamba lenyewe ilikuwa mbingu, nyumbani kwa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Wamekuja
|
||
|
|
||
|
Wamewasili
|
||
|
|
||
|
# Malaika elfu kumi
|
||
|
|
||
|
"Idadi isiyohesabika ya malaika"
|
||
|
|
||
|
# mzaliwa wa kwanza
|
||
|
|
||
|
Hii inaongea waumini katika Kristo kana kwamba ni wana ambao ni wazaliwa wa kwanza. Hii inasisitiza sehemu yao maalumu na faida kama watu wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# mmesajiliwa mbinguni
|
||
|
|
||
|
"ambao majina yao yameandikwa mbinguni
|
||
|
|
||
|
# mpatanishi wa agano jipya
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana Yesu alisababisha agano jipya kuwepo kati ya Mungu na wanadamu
|
||
|
|
||
|
# Mmekamilishwa
|
||
|
|
||
|
"ambao Mungu amewafanya wakamilifu"
|
||
|
|
||
|
# Damu ya kunyunyiza ambayo hunena zaidi kuliko damu ya Habili.
|
||
|
|
||
|
"Damu ya Yesu iliyonyunyizwa ambayo inamaana kubwa zaidi kuliko damu ya Habili, ambaye aliuawa na Kaini"
|
||
|
|
||
|
# damu
|
||
|
|
||
|
damu hapa inasimama kwa kifo cha Yesu, kama damu ya Habili inavyoisimama kwa kifo chake.
|