forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
762 B
Markdown
24 lines
762 B
Markdown
|
# Vumilia majaribu kama maonyo
|
||
|
|
||
|
"Elewa nyakati wa mateso Mungu hutufundisha nidhamu"
|
||
|
|
||
|
# Mungu anashughulik na ninyi kama ashughulikavyo na wana
|
||
|
|
||
|
Hii inalinganisha unidhamishaji kwa Mungu kwa watu wake kama baba anavyo wanidhamisha watoto.
|
||
|
|
||
|
# wana... mwana
|
||
|
|
||
|
Hiii ina jumuisha wamaume na wanawake, AT: "watoto... mtoto"
|
||
|
|
||
|
# ni mtoto yupi ambaye baba yake hawezi kumrudi?
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anatumia swali kuelewesha kwamba ni kawaida kwa kila baba mzuri kuwarudi watoto wake.
|
||
|
|
||
|
# Lakini kama hakuna kurudiwa ambako sisi sote tunashiriki
|
||
|
|
||
|
"Hivyo kama haujapata kurudiwa na Mungu kama anavyowarudi wana wake wote"
|
||
|
|
||
|
# basi ninyi ni haramu na sio wana wake
|
||
|
|
||
|
wale ambao Mungu hawarudi kunaongelewa kana kwamba ni wana ambao wamezaliwa na mwanamke na mwanaume ambao hawajaoana.
|