forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.3 KiB
Markdown
44 lines
1.3 KiB
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Kwa sababu ya idadi kubwa ya waumini wa Agano la Kale, mwandishi anaongelea maisha ya imani ambayo waamini wanapswa kuishi na Yesu kama kielezo chao.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
inamaanisha mwandishi na wasomaji wake. Neno nyie linamaanisha wasomaji.
|
||
|
|
||
|
# Tumezungukwa na kundi kubwa la mashahidi
|
||
|
|
||
|
" kundi kubwa la mashahidi linatuzunguka sisi" au "Kundi kubwa la mashahidi linasimama kama mfano kwetu."
|
||
|
|
||
|
# Mashahidi
|
||
|
|
||
|
"Mashahidi" hapa inamaanisha waumini wa Agano la Kale katika sura ya 11 walioishi kabla ya shindano la imani ambayo waumini wanashindana sasa hivi.
|
||
|
|
||
|
# tuweke kando kila mzigo na unatuzonga kwa urahisi
|
||
|
|
||
|
"mzito" hapana "dhambi inayozonga kwa urahisi" vinaongelewa kana kwamba mtu angeweza kuziondoa na kuzitua chini.
|
||
|
|
||
|
# Mwanzilishi na mkamilishaji
|
||
|
|
||
|
"muumbaji na mkamilishaji." Hii inamaanisha kwamba Yesu ni chanzo imani ya waumini.Ndiye ambaye waumini wanamtumaini, na atahakikisha waumini wanafikia lengo lao.
|
||
|
|
||
|
# furaha iliyowekwa mbele yake
|
||
|
|
||
|
Furaha ungetoka kwa Yesu kunaongelewa kana kwamba Mungu Baba aliyoiwekambele yake kufikia lengo.
|
||
|
|
||
|
# aliidharau aibu yake
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha hakujali kuhusu aibu ya ya kufa msalabani.
|
||
|
|
||
|
# alikaa mkono wa kuume
|
||
|
|
||
|
"Mkono wa kuume" hapa unamaanisha sehemu ya heshima.
|
||
|
|
||
|
# kiti cha enzi
|
||
|
|
||
|
"enzi" inamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme.
|
||
|
|
||
|
# kuchoka katika mioyo
|
||
|
|
||
|
"mioyo" inamaanisha mawazo ya mtu na hisia.
|