forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
630 B
Markdown
28 lines
630 B
Markdown
|
# Musa, alipozaliwa, alifichwa na wazazi wake kwa miezi mitatu
|
||
|
|
||
|
"Wazazi wa Musa walimfika kwa miezi mitatu baada ya kuzaliwa."
|
||
|
|
||
|
# alikua
|
||
|
|
||
|
"Akawa mtu mzima
|
||
|
|
||
|
# alikataa kuitwa
|
||
|
|
||
|
"aliwazuia watu kumuita"
|
||
|
|
||
|
# Dharau zitokanazo na kumfuata Kristo
|
||
|
|
||
|
"udhoefu wa watu kutokumuheshimu kwa sababu alifanya kile ambacho Kristo angetaka"
|
||
|
|
||
|
# Elekeza macho yake katika zawadi ya mbele
|
||
|
|
||
|
"Kufanya kile alichojua kuwa kitampatia zawadi huko mbinguni."
|
||
|
|
||
|
# kumfuata Kristo
|
||
|
|
||
|
kumtii Kristo kunaongelewa kana kwamba walikuwa wakimfuata katika njia.
|
||
|
|
||
|
# kuweka mach yake katika zawadi yake
|
||
|
|
||
|
Kufanya kile alichokifahamu kungemwezesha kupata taji mbinguni"
|