forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
599 B
Markdown
32 lines
599 B
Markdown
|
# Alipoitwa
|
||
|
|
||
|
"pindi Mungu alipomwita"
|
||
|
|
||
|
# alienda kwenye sehemu nje
|
||
|
|
||
|
"Aliacha nyummba yake kwenda kwenye sehemu"
|
||
|
|
||
|
# Nchi ya ahadi
|
||
|
|
||
|
"Nchi ambayo Mungu alimuahidia.
|
||
|
|
||
|
# aliishi katika nchi ya ahadi kama mgeni
|
||
|
|
||
|
"aliishi kama mgeni katika nchi ambayo Mungu alikuwa amemuahidi."
|
||
|
|
||
|
# Warithi wenza
|
||
|
|
||
|
"warith pamoja." Hii inaongea kuhusu Abrahamu, Isaka, na Yakobo kana kwamba walikuwa warithi ambao wangepokea urithi kutoka kwa baba yao.
|
||
|
|
||
|
# Mji ulio na misingi
|
||
|
|
||
|
Mungu anaongelewa kana kwamba ni mbunifu na mjenzi.
|
||
|
|
||
|
# Mtaalam wa ujenzi
|
||
|
|
||
|
Mtu ambaye anaunda majengo.
|
||
|
|
||
|
# mbunifu wa ujenzi
|
||
|
|
||
|
mtu anayebuni majengo
|