forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
950 B
Markdown
36 lines
950 B
Markdown
|
# Kwa imani Enoko alichukuliwa juu na hakuonja mauti
|
||
|
|
||
|
Kwa imani Enoko hakufa kwa sababu Mungu alimchukua.
|
||
|
|
||
|
# Tazama Kifo
|
||
|
|
||
|
Kufa.
|
||
|
|
||
|
# Kabla hajachukuliwa juu
|
||
|
|
||
|
"Kabla Mungu hajamchukua juu"
|
||
|
|
||
|
# alikuwa ameshuhudiwa kwamba amempendeza Mungu. Maana dhaaniwa: 1) "Mungu alisema Enoki alikuwa amempendeza," 2) "Watu walisema Henoko alikuwa amempendeza Mungu."
|
||
|
|
||
|
sasa pasipo imani
|
||
|
|
||
|
# Sasa hapa haimaanishi kwamba wakati huu lakini imetumika kuvuta usikivu kwa ajili ya kipengele kinachofuata.
|
||
|
|
||
|
Pasipo imani haiwezekani kumpendeza yeye
|
||
|
|
||
|
# "mtu anaweza kumpendeza Mungu kama tu ana imani katika Mungu"
|
||
|
|
||
|
yeyote ajaye kwa Mungu
|
||
|
|
||
|
# yeyote ajaye kwa Mungu
|
||
|
|
||
|
anayetaka kumwabudu Mungu na kuwa sehemu ya watu wake kunaongelewa kana kwamba ni kuja kwa Mungu. "mtu yeyote anayehitaji kuwa sehemu ya Mungu"
|
||
|
|
||
|
# huwapatia zawadi
|
||
|
|
||
|
"huwapatia wale"
|
||
|
|
||
|
# wale wote wamtafutao
|
||
|
|
||
|
Kujifunza kuhusu Mungu na kufanya juhudi kumtii kunaongelewa kana kwamba mtu anamtafuta mtu mwingine.
|