forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
772 B
Markdown
32 lines
772 B
Markdown
|
# wawili au watatu
|
||
|
|
||
|
Imepewa maana ya kwambahii inamaanisha "angalau wawili au watatu"
|
||
|
|
||
|
# kiwango gani zaidi cha adhabu unafikiri kinamstahili...neema?
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anasisitiza ukuu wa adhabu kwa wale wote wanaomkataa Kristo.
|
||
|
|
||
|
# amemdharau mwana wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Kutokumjali Kristo na kumtukana kunaongelewa kana kwamba mtu anakanyaga.
|
||
|
|
||
|
# ambaye ameihesabu damu ya agano kama sio takatifu
|
||
|
|
||
|
Hii inaonyesha jinsi mtu alivyokanyaga Mwana wa Mungu. Kwa kuihesbu damu ya agano kama sio takatifu"
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina muhimu la cheo cha Yesu
|
||
|
|
||
|
# damu ya agano
|
||
|
|
||
|
"damu" hapa inasimama kama kifo cha Kristo, ambacho kwa hicho Mungu alianzisha agano jipya.
|
||
|
|
||
|
# damu ambayo kwa hiyo alitakaswa
|
||
|
|
||
|
"damu ambayo Mungu alimtakasa kwa hiyo"
|
||
|
|
||
|
# Roho wa neema
|
||
|
|
||
|
"Roho wa Mungu anayetoa neema"
|