forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
822 B
Markdown
20 lines
822 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anasisitiza kwamba Kristo (sasa yuko mbinguni anatuombea) alipaswa kufa mara moja tu kwa ajili ya dhambi na kwamba atarudi duniani mara ya pili.
|
||
|
|
||
|
# nakala ya vitu vya mbinguni vinapaswa kusafishwa kwa dhabihu ya hawa wanyama
|
||
|
|
||
|
"Makuhani wanapaswa kutumia dhabihu hii ya wanyama kusafisha nakala za vitu vya mbinguni"
|
||
|
|
||
|
# vitu vya mbinguni vyenyewe vilipaswa visafishwe kwa dhabihu zilizo bora zaidi
|
||
|
|
||
|
Ile ni bora zaidi ya dahabihu zilizotumika kusafisha nakala za duniani. Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "kama kwa vitu vya mbinguni vyenyewe, Mungu alipaswa kuvisafisha kwa dhabihu iliyo bora"
|
||
|
|
||
|
# ilitengenezwa kwa mikono
|
||
|
|
||
|
"Mikono" hapa inamaanisha mwanadamu. AT: "ambayo wanadamu walitengeneza na"
|
||
|
|
||
|
# ya kitu halisi
|
||
|
|
||
|
"sehemu ya kweli na takatifu ya patakatifu pa patakatifu"
|