forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
686 B
Markdown
28 lines
686 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Nukuu hii inatoka kwa nabii Yeremia.
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Watu wa Israeli wanaongelewa kana kwamba walikuwa ni nyumba.
|
||
|
|
||
|
# baada ya siku hizo
|
||
|
|
||
|
"baada ya wakati huo"
|
||
|
|
||
|
# nitaweka sheria zangu mioyoni mwao
|
||
|
|
||
|
Sheria za Mungu zinaongelewa kana kwamba ni vyombo ambavyo vingeweza kuwekwa mahali fulani. Uwezo wa watu kufikiri kunaongelewa kana kwamba ni sehemu.AT: "Nitawawezesha kuelewa sheria zangu"
|
||
|
|
||
|
# Pia nitaziandika mioyoni mwao
|
||
|
|
||
|
Mioyo ya watu ilifikiriwa kuwa kituo cha uaminifu kwa Mungu, na imeongelewa kana kwamba ni ukurasa ambao ungeweza kuandikwa.
|
||
|
|
||
|
# nitakuwa Mungu wao
|
||
|
|
||
|
"Nitakuwa Mungu wanae mwabudu"
|
||
|
|
||
|
# watakuwa watu wangu
|
||
|
|
||
|
"watakuwa watu ambao ninawajali"
|