forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.0 KiB
Markdown
36 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anasema kwamba ukuhani wa Melikizedeki ni bora kuliko wa ukuhani wa haruni na anakumbusha kuwa ukuhani wa Haruni haukukamilisha chochote.
|
||
|
|
||
|
# huyu mtu alikuwa
|
||
|
|
||
|
'Melikizedeki alikuwa"
|
||
|
|
||
|
# kwa upande mmoja...lakini kwa upande mwingine
|
||
|
|
||
|
maneno haya yametumika kulinganishwa vitu viwili. Lugha yako inaweza kuwa na namna ya msisitizo kwamba mwandishi anaweka ulinganifu. Au unaweza kutumia "kwa upande mwingine"
|
||
|
|
||
|
# Wana wa Lawi ambao hupokea ukuhani
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anasema hili kwa sababu sio wana wote wa Lawi walikuwa makuhani.
|
||
|
|
||
|
# kutoka kwa watu
|
||
|
|
||
|
"kutoka kwa watu wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# kutoka kwa ndugu zao
|
||
|
|
||
|
Neno ndugu hapa linamaanisha kuwa wote wanahusiana kupitia kwa Abrahamu.
|
||
|
|
||
|
# wao, pia wanatoka katika mwili wa Abrahamu
|
||
|
|
||
|
Hii ni namna nyigine ya kusema walikuwa wana wa Abrahamu.
|
||
|
|
||
|
# ambao uzao wake haukutoka kwao
|
||
|
|
||
|
"ambao hawakuwa wana wa Lawi"
|
||
|
|
||
|
# yeye aliyekuwa na ahadi
|
||
|
|
||
|
Mambo ambayo Mungu aliahidi kufanya kwa ajili ya Abrahamu yanaongelewa kana kwamba vilikuwa ni vitu ambavyo angeweza kumiliki.
|