forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
612 B
Markdown
24 lines
612 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Nukuu hii inatoka katika Zaburi katika Agano la Kale
|
||
|
|
||
|
# achukuaye heshima hii
|
||
|
|
||
|
Heshima inaongelewa kana kwamba ni kitu ambacho Mungu kukichukua katika mkono wake.
|
||
|
|
||
|
# achukue heshima hii
|
||
|
|
||
|
heshima au sifa na heshima ambazo watu walimpa kuhani mkuu husimama kwa ajili ya majukumu yake
|
||
|
|
||
|
# aitwe/ ameitwa na Mungu, kama alivyokuwa Haruni
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu alimwita kama alivyomwita Haruni"
|
||
|
|
||
|
# Mungu alisema kwake
|
||
|
|
||
|
"Mungu alisema kwake"
|
||
|
|
||
|
# " Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa Baba yako."
|
||
|
|
||
|
kimsingi neno hili linamaanisha kitu kimoja. Tazama ulivyotafsiri 1:4.
|