forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
850 B
Markdown
20 lines
850 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Onyo hapa ni ukumbusho kwamba kutokuamini kwa Waisraeli kuliwafanya wote kutoingia katika nchi ambayo Mungu alikuwa amewahidi. Kutokuamini kwao kulionyeshwa vizuri katika Kutoka 17:1, walipo mlalamikia Musa na kuwa na mashaka juu ya Mungu kama alikuwa pamoja nao.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Nukuu hii inatoka katika Agano la Kale katika Zaburi.
|
||
|
|
||
|
# kama mkisikia sauti yake
|
||
|
|
||
|
Amri za Mungu kwa Waisraeli zinaongelewa kana kwamba aliwakuwa amewapa katika sauti ya kusikika. AT: "kama mtasikia Mungu akiongea"
|
||
|
|
||
|
# Msifanye mioyo yenu kuwa migumu
|
||
|
|
||
|
Ugumu wa moyo unaongelewa kana kwamba ni moyo halisi umefanywa kuwa mgumu. AT: "msiwewenye mioyo migumu"
|
||
|
|
||
|
# kama katika uasi wakati wa kujaribiwa jangwani
|
||
|
|
||
|
Hapa "uasi" na "kujaribiwa" yanaweza kuelezewa kama vitenzi. AT: "kama vile na mababu zenu walivyo muasi Mungu na kumjaribu jangwani"
|