forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
1.1 KiB
Markdown
24 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# mdogo kuliko malaika
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anamuongelea mwanadamu kuwa sio wa muhimu kuliko malaika kana kwamba wanadamuwamesimama katika nafasi amabayo ni ya chini kuliko nafasi ya malaika. AT: "mdogo kuliko malaika."
|
||
|
|
||
|
# amemfanya mtu...amevika... miguu yake... kwake
|
||
|
|
||
|
Maneno haya sio kwa ajili ya mlengwa mmoja bali inajumuisha wanadamu wote, inajumuisha wanaume na wanawake.AT: "amewafanya wanadamu... amewavika...miguu yao... kwao"
|
||
|
|
||
|
# umemvika utukufu na heshima
|
||
|
|
||
|
zawadi ya utukufu na heshima zinaongelewa kana kwamba ni shada la majani lililowekwa kichwani mwa mshindi wa mchezo. AT:"umewapa utukufu mwing na heshima"
|
||
|
|
||
|
# Umeweka kila kitu kiwe chini ya miguu yake
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anamuongelea mwanadamu kuwa na utawala juu ya kila kitu kana kwamba wamesimama juu ya kila kitu. AT: "Umewapa kumiliki juu ya vitu vyote"
|
||
|
|
||
|
# Hakuacha kitu chochote kisicho kuwa chini yake
|
||
|
|
||
|
maneno mawili hasi yanamaanisha kwamba vitu vyote vitawekwa chini ya Kristo. AT: "Mungu alifanya kila kitu kuwa chini yao"
|
||
|
|
||
|
# Hatuoni vitu vyote vikiwa chini yake
|
||
|
|
||
|
tunafahamu kuwa bado wanadamu hawajawa wamiliki wa kila kitu
|