forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
1.0 KiB
Markdown
24 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anawakumbusha Waebrania hawa kwamba siku moja nchi itakuwa chini ya utawala wa Bwana Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Nukuu hapa inatoka katika kitabu cha Zaburi katika Agano la Kale. Inaendele hadi sehemu inayofuata.
|
||
|
|
||
|
# Kwa sababu kama haikuwa kwa malaika ambao Mungu aliwaweka
|
||
|
|
||
|
"Kwa kuwa Mungu hakuwaweka malaika kuwa watawala"
|
||
|
|
||
|
# Ulimwengu ujao
|
||
|
|
||
|
"Ulimwengu" hapa unamaanisha kwa watu wanaoishi huko. Na "ujao" unamaanishi huu ni ulimwengu uajao baada ya Yesu atakaporudi. AT: "watu watakaoishi katika ulimwengu wa mpya"
|
||
|
|
||
|
# Mtuni nani, kwamba uweze kumkumbuka/ kumjali?
|
||
|
|
||
|
Swali linatumika kusisitiza kuwa wanadamu sio muhimu kwa kumfanya Mungu kuwajal.AT: "Hakuna mwandamu ambaye ni wa Muhimu wa kumfanya Mungu kufikiri kuhusu yeye!"
|
||
|
|
||
|
# Au mwana wa mtu , kwamba umjali?
|
||
|
|
||
|
Kimsingi hii inamaanisha kitu kilekile kinachoelezewa katika swali la kwanza. Swali lisilo hitaji kujibiwa linasisitiza mshangao kwamba wanadamu si wa muhimu kiasi cha kwamba Mungu awajalli.AT: "Hakuna mwanadamu anayesitahili kujaliwa na wewe!"
|