forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
671 B
Markdown
24 lines
671 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Nukuu hii ya andiko inatoka katika kitabu cha Zaburi
|
||
|
|
||
|
# Kuhusu Mwana anasema,
|
||
|
|
||
|
"Lakini Mungu asema hivi kuhusu Mwana"
|
||
|
|
||
|
# Mwana
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele
|
||
|
|
||
|
Kiti cha enzi kinawakilisha utawala. AT: " Wewe ni Mungun na utawala wako utadumu milele"
|
||
|
|
||
|
# fimbo yako ya ufalme ni ya haki
|
||
|
|
||
|
Fimbo yautawala inamaanisha utawala wa Mwana. AT: "Na utatawala juu ya watu katika ufalme wako kwa haki"
|
||
|
|
||
|
# amekupaka mafuta ya furaha zaidi ya wenzako
|
||
|
|
||
|
Hapa "mafuta ya furaha" inamaanisha furaha aliyokuwa nayo wakati Mungu alipo muheshimu. AT:"amekuheshimu na amekufanya kuwa na furaha zaidi ya yeyote.
|