forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
798 B
Markdown
24 lines
798 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anawakumbusha waumini wa Galatia jinsi walivyokuwa wema katkia kumhudumia wakati akiwa pamoja nao, na anawatia moyo kuendelea kumtumaini hata wakati asipokuwa pamoja nao.
|
||
|
|
||
|
# Sihi
|
||
|
|
||
|
Neno hili linamaanisha kuomba kwa nguvu. Hili si neno lililotumika kuomba pesa, chakula au kitu kingine chochote cha mahitaji.
|
||
|
|
||
|
# Ndugu
|
||
|
|
||
|
Hapa linamaanisha wakristo wote wa kike na wakiume, ndugu walio katika Kristo ni washirika wa familia moja ya kiroho, pamoja na Mungu Baba yao wa mbinguni.
|
||
|
|
||
|
# Hamjanitenda kosa
|
||
|
|
||
|
kwa kutumia maneno haya, Paulo anatilia mkazo kwa Wagalatia walihudumia vizuri sana "Mlinitunza vizuri sana", au "mlinitunza kama mlivyopaswa"
|
||
|
|
||
|
# Ingawa afya yangu iliwaweka katika jaribu
|
||
|
|
||
|
"Ingawa ilikuwa vigumu kuniona mimi wakati nikiwa mgonjwa"
|
||
|
|
||
|
# kudharau
|
||
|
|
||
|
kuchukia sana
|