sw_tn/exo/32/09.md

28 lines
699 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Mimi nimewaona watu hawa
Hapa Yahweh analinganisha kuwajua watu na kuwaona.
# watu wenye shingo ngumu
Yahweh anaongelea watu kuwa wajehuri kana kwamba wana shingo ngumu.
# Basi sasa
Neno "sasa" linatumika hapa kuweka pumziko kwa kile Yahweh alikuwa anamwambia Musa. Hapa Yahweh anasema nini ata wafanyia watu.
# hasira zangu ziwake juu yao
Yahweh anazungumzia hasira yake kana kwamba ni moto unao weza waka sana.
# wewe uwe
Neno "wewe" la husu Musa.
# kwa nini hasira zako kuwaka juu ya watu wako
Musa alitumia ili swali kujaribu kumshawishi Yahweh asiwe na hasira sana na watu wake.
# uweza mkuu ... mkono wenye nguvu
Hii mistari miwili ina maana moja na iwe ambatanishwa kwa mkazo.