forked from WA-Catalog/sw_tn
699 B
699 B
Mimi nimewaona watu hawa
Hapa Yahweh analinganisha kuwajua watu na kuwaona.
watu wenye shingo ngumu
Yahweh anaongelea watu kuwa wajehuri kana kwamba wana shingo ngumu.
Basi sasa
Neno "sasa" linatumika hapa kuweka pumziko kwa kile Yahweh alikuwa anamwambia Musa. Hapa Yahweh anasema nini ata wafanyia watu.
hasira zangu ziwake juu yao
Yahweh anazungumzia hasira yake kana kwamba ni moto unao weza waka sana.
wewe uwe
Neno "wewe" la husu Musa.
kwa nini hasira zako kuwaka juu ya watu wako
Musa alitumia ili swali kujaribu kumshawishi Yahweh asiwe na hasira sana na watu wake.
uweza mkuu ... mkono wenye nguvu
Hii mistari miwili ina maana moja na iwe ambatanishwa kwa mkazo.