forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.2 KiB
Markdown
44 lines
1.2 KiB
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Luka anaelezea kile kilichotokea katika Mji wa Efeso wakiwa na Prisila na Akwira
|
||
|
|
||
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Apolo anatambulishwa kwenye hadithi. Mistari ya 24 na 25 inatoa habari kumuhusu yeye.
|
||
|
|
||
|
# Mmoja wa Wayahudi aitwaye Apolo
|
||
|
|
||
|
Hapa Luka anaanza kuelezea habari ya mtu mpya.
|
||
|
|
||
|
# Mzaliwa wa Alexandra
|
||
|
|
||
|
"Mtu ambaye alizaliwa katika mji wa Alexandria". Hii inaweza kuwa ni miji ya 1) "Alexandria huko Misiri katika mwambao wa kaskasini. " au 2) Alexandra huko Asia katika mwambao wa magharibi."
|
||
|
|
||
|
# ufasaha katika kuongea
|
||
|
|
||
|
"mwongeaji mzuri"
|
||
|
|
||
|
# mwenye uwezo katika maandiko
|
||
|
|
||
|
"Alikuwa anayafahamu vema maandiko. Alikuwa anauelewa mzuri wa maandiko ya Agano la Kale.
|
||
|
|
||
|
# Apolo alikuwa ameelimishwa vema katika mafundisho ya Bwana.
|
||
|
|
||
|
"Baadhi ya waumini walikuwa wamemfundisha Apolo namna Bwana Yesu alivyokuwa anataka watu wapate kuishi.
|
||
|
|
||
|
# Alikuwa na bidii katika roho
|
||
|
|
||
|
Neno "roho" linamtambulisha Apolo kama mtu aliyekuwa mwenye nia thabiti ya roho.
|
||
|
|
||
|
# ubatizo wa Yohana
|
||
|
|
||
|
"Ubatizo ambao Yohana alifanya" Huu ni ulinganisho wa ubatizo wa Yohana ambao ulikuwa wa maji na ubatizo wa Yesu ambao ulikuwa wa Roho Mtakatifu.
|
||
|
|
||
|
# njia za Mungu
|
||
|
|
||
|
Namna vile anawataka watu waishi.
|
||
|
|
||
|
# kwa usahihi
|
||
|
|
||
|
"kwa undani zaidi "
|