forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
704 B
Markdown
28 lines
704 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwisho wa sehemu ya habari kwa tukio la siku ya Pentekoste. Inaanza sehemu nyingine inayoelezea jinsi gani waumini waliendelea kuishi baada ya siku ya Pentekoste.
|
||
|
|
||
|
# alishuhudia na kuwasihi
|
||
|
|
||
|
"Aliwaambia waziwazi na kuwasihi waitikie kwa ujumbe alioutoa kwao.
|
||
|
|
||
|
# Jiokoeni mtoke katika kizazi hiki kiovu
|
||
|
|
||
|
Wajiokoe kutoka katika adhabu ya Mungu itakayowapata watu waovu.
|
||
|
|
||
|
# wakayapokea maneno yake
|
||
|
|
||
|
Inamaanisha wakayapokea maneno aliyoyasema Petro kuwa yalikuwa ya kweli.
|
||
|
|
||
|
# Walibatizwa
|
||
|
|
||
|
Wote walioamini walibatizwa.
|
||
|
|
||
|
# hapo wakaongezeka katika siku hiyo kama watu elfu tatu
|
||
|
|
||
|
"watu wapatao elfu tatu waliongezeka"
|
||
|
|
||
|
# katika kuumega mkate
|
||
|
|
||
|
Walishiriki na kula chakula kwa pamoja
|