forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
890 B
Markdown
36 lines
890 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Neno "sisi" linamwelezea Yohana na wele waliokuwa pamoja naye bila kumjumuisha Gayo.
|
||
|
|
||
|
# kusanyiko
|
||
|
|
||
|
Hapa anamtaja Gayo na kundi la waumini wanaokutana pamoja kumwabudu Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Diotrofe
|
||
|
|
||
|
Alikuwa hapo awali mmoja wa kundi la waumini waliokuwa wakikusanyika
|
||
|
|
||
|
# anayependa kuwa wa kwanza miongoni mwao
|
||
|
|
||
|
"Aliyependa kuonekana kuwa wa muhimu sana miongoni mwao" au "ambaye alipenda kujifanya kama vile ni kiongozi wao"
|
||
|
|
||
|
# jinsi anavyosema maneno mabaya dhidi yetu
|
||
|
|
||
|
"Jinsi anavyonena mambo mabaya kutuhusu sisi na hakika siyo ya kweli"
|
||
|
|
||
|
# yeye mwenyewe
|
||
|
|
||
|
Neno "yeye mwenyewe" linamwelezea Diotrofe aliyekuwa akifanya mambo hayo.
|
||
|
|
||
|
# hawapokei ndugu
|
||
|
|
||
|
hataki kuwapokea ndugu waumini"
|
||
|
|
||
|
# Hata huwakataza wengine ambao wanatamani kuwakaribisha hao
|
||
|
|
||
|
"Anawazuia wale wanaotaka kuwakaribisha waumini"
|
||
|
|
||
|
# na kuwafukuza watoke kwenye kusanyiko.
|
||
|
|
||
|
"Anawalazimisha kutoka kwenye kusanyiko"
|