forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.1 KiB
Markdown
36 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Kama vile Paulo anavyotetea utume wake kutoka kwa Mungu, anawaambia juu ya udhaifu ambao Mungu alimpa yeye kumfanya awe mnyenyekevu.
|
||
|
|
||
|
# Habari za Jumla:
|
||
|
|
||
|
Wakati paulo anazungumza juu ya "mwiba katika mwili wake"; anaonyesha kuwa yeye ni "mwanadamu"
|
||
|
|
||
|
# kusikika kutoka kwangu. Sitajivuna pia kwa sababu ya hayo mafunuo ya aina ya ajabu. Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi, mwiba
|
||
|
|
||
|
Maana nyingine ni hii;' " kusikia kutoka kwangu. Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi kwa sababu ya aina ya mafunuo hayo, mwiba."
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu ya hayo mafunuo ya aina ya ajabu. Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi, mwiba
|
||
|
|
||
|
Maana nyingine ni hii;' " kusikia kutoka kwangu. Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi kwa sababu ya aina ya mafunuo hayo, mwiba."
|
||
|
|
||
|
# Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi,
|
||
|
|
||
|
"kunifanya mimimnisijawe na kiburi"
|
||
|
|
||
|
# kijawa na
|
||
|
|
||
|
kujazwa na hewa na kuwa kubwa mno kuliko ilivyo kawaida
|
||
|
|
||
|
# mwiba katika mwili
|
||
|
|
||
|
Haapa matatizo ya Paulo ya mwili yamelinganishwa na "mwiba" unaochoma "mwili wake"
|
||
|
|
||
|
# mjumbe wa shetani
|
||
|
|
||
|
"mtumishi wa shetani"
|
||
|
|
||
|
# kunishambulia mimi
|
||
|
|
||
|
"kunitesa mimi"
|