forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
814 B
Markdown
24 lines
814 B
Markdown
|
# Je, nilifanya dhambi kwa kujinyenyekeza mwenyewe ili ninyi muweze kuinuliwa
|
||
|
|
||
|
Paulo anaanza kwa kudai kwamba aliwatendea Wakorintho kwa uzuri.Swali hili la kujihoji linaweza kutafsiriwa hivi: " Nadhani tunakubaliana kwamba sikufanya dhambi kwa akujinyenyekeza mwenyewe ili ya kwamba mpate kuinuliwa"
|
||
|
|
||
|
# kwa uhuru
|
||
|
|
||
|
"bila kutegemea kurudishiwa chochote kutoka kwenu"
|
||
|
|
||
|
# Nilinyang'anya makanisa mengine
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii imeelezwa kwa kuikuza au kutia chumvi kusisitiza kwamba Paulo alichukua fedha kutoka makanisa mengine.
|
||
|
|
||
|
# ningeweza kuwahudumia ninyi
|
||
|
|
||
|
Maaana kamili ya sentensi hii yaweza kuwa: "Naweza kuwatumikia ninyi bila gharama"
|
||
|
|
||
|
# Katika kila kitu nimejizuia mwenyewe kutokuwa mzigo kwenu
|
||
|
|
||
|
"sijawahi kwa njia yoyote kuwa mzigo kwenu kifedha.
|
||
|
|
||
|
# ndugu waliokuja
|
||
|
|
||
|
"Ndugu hawa" huenda walikuwa wanaume wote.
|