forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
724 B
Markdown
28 lines
724 B
Markdown
|
# Angalieni
|
||
|
|
||
|
Neno hililinaweka msisitizo kwa kile kitakachozungumzwa baadaye.
|
||
|
|
||
|
# Jinsi gani azma ilikuwa kubwa ndani yenu kuthibitisha kuwa hamkuwa na hatia
|
||
|
|
||
|
Neno " jinsi gani" linaifanya sentensi hii kuwa mshangao.
|
||
|
|
||
|
# uchungu wenu
|
||
|
|
||
|
"hasira yenu"
|
||
|
|
||
|
# kwamba haki inapaswa kutendeka
|
||
|
|
||
|
Yaweza kuelezwa kuwa: "mtu yule anapaswa kubeba uadilifu.
|
||
|
|
||
|
# mkosaji
|
||
|
|
||
|
"yule aliyetenda mabaya"
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba udhati wa mioyo yenu kwa ajili yetu ifanywe kujulikana kwenu
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa kauli tendaji kuwa: kwamba mmekuwa na udhati wa mioyo yenu kwa ajili yetu katika unyoofu.
|
||
|
|
||
|
# mbele ya macho ya Mung
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwenye uwepo wa Mungu na uthibitisho wa uaminifu wa Paulo umemaanishwa kama Mungu amekua aliwaona wao.
|