sw_tn/2co/03/04.md

28 lines
732 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# huu ndiyo ujasiri
Inaelezea kwa kile ambacho Paulo amekisema. .Ujasiri wake unatoka katika kufahamu kwamba Wakorintho ni uthibitisho wa huduma yake mbele za Mungu.
# Uhodari ndani yetu wenyewe
"Kustahili kwetu ndani yetu sisi wenyewe" au "Utoshelevu ndani yetu sisi wenyewe"
# kudai kitu chochote kuwa kinatoka kwetu
kudai kuwa kitu chochote ambacho tumefanya katika huduma huduma huja kwa juhudi zetu sisi wenyewe"
# Uhodari wetu unatoka kwa Mungu
"Mungu hutupa utoshelevu"
# Agano lisilo la barua
"agano ambalo halijajikita juu ya sheria ambazo zimeandikwa na wanandamu.
# lakini la Roho
"lakini ni agano ambalo limejikita juu ya kile ambacho Roho anafanya"
# barua inaua
"sheria iliyoandikwa hupelekea kifo"