forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1.0 KiB
Markdown
28 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# hatutaki mwe wajinga
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa msamiati chanya "tunataka mfahamu"
|
||
|
|
||
|
# Tuliteswa sana zaidi ya vile ambavyo tungeweza kuvumilia
|
||
|
|
||
|
Paulo na Timotheo wanaelezea hisia zao za kukata tamaa kama mzigo mzito waliopaswa kuubeba.
|
||
|
|
||
|
# Tulikuwa tumekatishwa tamaa kabisa
|
||
|
|
||
|
neno "katishwa tamaa" linaeleza hisia za kuvujwa moyo. Hii inaweza kuelezwa katika muundo wa utendaji. " taabu tulizozipitia zimetukatisha tamaa kabisa" au "Tulikuwa katika kukatishwa tamaa kabisa"
|
||
|
|
||
|
# Tulikuwa na hukumu ya kifo juu yetu
|
||
|
|
||
|
Paulo na Timotheo wanalinganisha hisia zao za kuvujwa moyo kama mtu ambaye ametiwa hatiani kufa." " Tulikuwa katika kukata tamaa kama mtu aliyehukumiwa kufa"
|
||
|
|
||
|
# lakini badala yake katika Mungu
|
||
|
|
||
|
Maneno "weka tumaini letu" yameachwa katika sentensi hii. "lakini badala yake, weka tumaini letu katika Mungu"
|
||
|
|
||
|
# anaye wafufua wafu
|
||
|
|
||
|
"anaye waleta wafu kurudi katika uhai tena"
|
||
|
|
||
|
# maafa ya mauti
|
||
|
|
||
|
Paulo na Timotheo wanafananisha hisia yao ya kukata tamaa na maafa ya mauti au hatari ya kutisha. (UDB) AT: "kukata tamaa."
|