forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
353 B
Markdown
8 lines
353 B
Markdown
|
# Ni nani atakayekudhuru, ikiwa unataka mema?
|
||
|
|
||
|
Neno "wewe" linamaanisha waamini. AT "Hakuna mtu atakayekudhuru ikiwa unafanya mambo mema."
|
||
|
|
||
|
# Usiogope kile wanachokiogopa. Msifadhaike.
|
||
|
|
||
|
Maneno haya mawili yanategemeana maana sawa na kusisitiza kwamba waumini hawapaswi kuwaogopa wale wanaowadhulumu. AT "Usiogope kile ambacho watu wanaweza kukufanyia."
|