forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
479 B
Markdown
24 lines
479 B
Markdown
|
# Yule anayetaka kupenda maisha
|
||
|
|
||
|
Petro anasema nini mtunzi aliandika katika Maandiko zamani.
|
||
|
|
||
|
# Anapaswa kuacha ulimi wake kwa uovu na midomo yake isiseme uongo
|
||
|
|
||
|
"acha uongo na kusema mambo maovu"
|
||
|
|
||
|
# Nae aondoke mbali na yaliyo mabaya
|
||
|
|
||
|
"Nae aache kufanya mabaya"
|
||
|
|
||
|
# Macho ya Bwana huwaona wenye haki
|
||
|
|
||
|
"Bwana anaona wenye haki" au "Bwana huwalinzi na huwajali wenye haki"
|
||
|
|
||
|
# na masikio yake yanasikia maombi yao
|
||
|
|
||
|
"na anasikia sala zao"
|
||
|
|
||
|
# uso wa Bwana ni kinyume
|
||
|
|
||
|
"Bwana hupinga"
|