1 line
234 B
Plaintext
1 line
234 B
Plaintext
|
\v 36 Na aliwaamuru wasimwambie mtu yeyote. Lakini kadri alivyowaamuru, ndivyo walivyotangaza habari hizo kwa wingi. \v 37 Hakika walishangazwa, na kusema, "Amefanya kila kitu vizuri. Hata amewafanya viziwi kusikia na mabubu kuongea."
|