swc_luk_text_reg_Uncomplete/10/31.txt

1 line
179 B
Plaintext

\v 31 Kwani mmoja alikuwa akipita kwa ile njia, akamwona, akapita pembe na kumwacha pale. \v 32 Kiisha mtu mwengine, mlawi naye pia alifika kwa ile fasi, akamuona, na apita ayake.