swc_luk_text_reg_Uncomplete/10/31.txt

1 line
179 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 31 Kwani mmoja alikuwa akipita kwa ile njia, akamwona, akapita pembe na kumwacha pale. \v 32 Kiisha mtu mwengine, mlawi naye pia alifika kwa ile fasi, akamuona, na apita ayake.