sw_pro_text_reg/19/17.txt

1 line
170 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 17 Mwenye ukarimu kwa masikini humkopesha Yehova na atalipwa kwa kile alichofanya. \v 18 Mrudi mwanao wakati kuna matumaini na usiwe na shauku ya kumweka katika mauti.