sw_jhn_text_reg/03/12.txt

1 line
219 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 12 Kama nimewambia mambo ya hapa duniani na hamuamini, mtawezaje kuamini kama nikiwambia mambo ya mbinguni? \v 13 Maana hakuna aliyepanda kwenda juu mbinguni isipokuwa yeye aliyeshuka kutoka mbinguni- Mwana wa Adamu.