sw_jhn_text_reg/03/12.txt

1 line
219 B
Plaintext

\v 12 Kama nimewambia mambo ya hapa duniani na hamuamini, mtawezaje kuamini kama nikiwambia mambo ya mbinguni? \v 13 Maana hakuna aliyepanda kwenda juu mbinguni isipokuwa yeye aliyeshuka kutoka mbinguni- Mwana wa Adamu.