sw_jhn_text_reg/15/16.txt

1 line
264 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 16 Hamkunichagua mimi, bali mimi niliwachagua ninyi na kuwaweka mwende mazae matunda, na tunda lenu lipate kukaa. Hii liko hivi ili kwamba chochote muombacho kwa Baba kwa jina langu, atawapeni. \v 17 Mambo haya ninawaagiza, kwamba mpendane kila mtu na mwenzake.