sw_jhn_text_reg/09/26.txt

1 line
216 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 26 Ndipo walipomwambia, "Amekufanyia nini? Aliyafumbuaje macho yako?" \v 27 Alijibu, "Nimekwishawaambia tayari, na nyinyi hamkusikiliza! Kwa nini mnataka kusikia tena? Nanyi hamtaki kuwa wanafunzi wake pia, sivyo?