sw_jhn_text_reg/05/26.txt

1 line
198 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 26 Kwa kuwa kama vile Baba alivyo na uzima ndani yake mwenyewe, kadhalika amempa Mwana kuwa na uzima ndani yake, \v 27 na Baba amempa Mwana mamlaka ili kwamba ahukumu kwa kuwa ni Mwana wa Adamu.