sw_jhn_text_reg/05/26.txt

1 line
198 B
Plaintext

\v 26 Kwa kuwa kama vile Baba alivyo na uzima ndani yake mwenyewe, kadhalika amempa Mwana kuwa na uzima ndani yake, \v 27 na Baba amempa Mwana mamlaka ili kwamba ahukumu kwa kuwa ni Mwana wa Adamu.