sw_jhn_text_reg/04/51.txt

1 line
190 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 51 Alipokuwa akishuka, watumishi wake walimpokea na kumwambia mwanaye alikuwa mzima. \v 52 Hivyo akawauliza ni muda gani alipata nafuu. Wakajibu, "Jana muda wa saa saba homa ilipomwacha."