sw_act_text_ulb/13/48.txt

1 line
167 B
Plaintext

\v 48 Mataifa waliposikia hili, walifurahi na kulitukuza neno la Bwana. Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele waliamini. \v 49 Neno la Bwana lilienea nchi ile yote.