sw_act_text_ulb/13/48.txt

1 line
167 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 48 Mataifa waliposikia hili, walifurahi na kulitukuza neno la Bwana. Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele waliamini. \v 49 Neno la Bwana lilienea nchi ile yote.