sw_2sa_text_reg/22/28.txt

1 line
170 B
Plaintext

\v 28 Unaokoa walioteswa, lakini macho yako ni kinyume cha wenye kiburi, na unawashusha chini. \v 29 Kwa maana wewe ni taa yangu, Yahwe. Yahwe huangaza katika giza langu.