sw_2sa_text_reg/22/28.txt

1 line
170 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 28 Unaokoa walioteswa, lakini macho yako ni kinyume cha wenye kiburi, na unawashusha chini. \v 29 Kwa maana wewe ni taa yangu, Yahwe. Yahwe huangaza katika giza langu.